Search your Topic here

Wednesday, July 6, 2016

JE UNAMJALI MPENZI WAKO

Girl:  Baby mi leo naumwaa!!
Boy: Unaumwa nini my sweet.
Girl: Naumwa mafua
Boy: Pole sana my.
Girl: Asantee
Ila baby naomba nitumie pesa ya kununua dawa etii!!!!
Boy: Shilingi ngapi unahitaji??
Girl: Elfu hamsini tu itatosha
Boy: Haaaaa!!!!!
Swali, Kama wewe ungetuma shilingi ngapi??

No comments:

Follow us